forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
918 B
Markdown
32 lines
918 B
Markdown
|
# Hapana, Sarai mkeo atakuzalia
|
||
|
|
||
|
Mungu alisema hili kusahisha imani ya Abrahamu juu ya Sarai kupata mtoto.
|
||
|
|
||
|
# utamwita jina lake
|
||
|
|
||
|
Neno "utamwita" linamlenga Abrahamu.
|
||
|
|
||
|
# Na kwa habari ya Ishmaeli
|
||
|
|
||
|
Maneno "na kwa habari" yanaonyesha ya kwamba Mungu anabadilisha maongezi kuhusu mtoto ambaye angezaliwa na kumuongelea Ishmaeli.
|
||
|
|
||
|
# Tazama
|
||
|
|
||
|
"Angalia" au "Sikiliza" au "Sikiliza kwa makini kwa kile nachotaka kukuambia"
|
||
|
|
||
|
# nitamfanya kuwa na uzao
|
||
|
|
||
|
Hii ni lahaja inayokuwa na maana ya "nitamsababisha awe na watoto wengi"
|
||
|
|
||
|
# na kumzidisha maradufu
|
||
|
|
||
|
"na nitamsababisha awe na uzao mwingi"
|
||
|
|
||
|
# viongozi wa makabila
|
||
|
|
||
|
"machifu" au "watawala". Hawa viongozi sio wana kumi na mbili na wajukuu wa Yakobo ambao wataongoza makabila kumi na mbili ya Israeli.
|
||
|
|
||
|
# Lakini agano langu nitalifanya imara na Isaka
|
||
|
|
||
|
Mungu anarudi kuongelea juu ya agano lako na Abrahamu na kusisitiza ya kwamba atatimiza ahadi yake na Isaka, na sio Ishmaeli.
|