forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
614 B
Markdown
24 lines
614 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Mungu anaendelea kuzungumza na Nuhu na wanawe.
|
||
|
|
||
|
# ninalithibitisha agano langu pamoja nanyi
|
||
|
|
||
|
"kwa kusema hivi, ninafanya agano langu pamoja na wewe"
|
||
|
|
||
|
# mwili
|
||
|
|
||
|
Maana zaweza kuwa 1) binadamu wote au 2) wenye viumbe wote, kujumlisha binadamu na wanyama.
|
||
|
|
||
|
# Tena hapatatokea gharika ya kuangamiza nchi
|
||
|
|
||
|
"Hakutakuwa tena na gharika ambalo litaangamiza nchi". Kutakuwa na gharika, lakini hazitaangamiza dunia nzima.
|
||
|
|
||
|
# ishara
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya ukumbusho wa jambo lililoahidiwa.
|
||
|
|
||
|
# agano ... kwa vizazi vyote vya baadaye
|
||
|
|
||
|
Agano hili linamhusu Nuhu na familia yake na pia vizazi vyote vitakavyofuata.
|