forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
874 B
Markdown
28 lines
874 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Mistari ya 6-12 inarudia kwa mara ya pili na kutoa kwa utondoti jinsi gani Nuhu alivyoinbgia ndani ya safina na familia yake pamoja na wanyama katika 7:1. Hili sio tukio jipya.
|
||
|
|
||
|
# Wanyama ambao ni safi
|
||
|
|
||
|
Hawa walikuwa wanyama ambao Mungu aliruhusu watu wake kuwala na kuwatoa kama sadaka kwake.
|
||
|
|
||
|
# wanyama ambao si safi
|
||
|
|
||
|
Hawa walikuwa wanyama ambao Mungu hakuruhusu watu wake wale au kuwato kama sadaka kwake.
|
||
|
|
||
|
# wawili wawili
|
||
|
|
||
|
Wanyama waliingia kwenye safina katika makundi ya dume mmoja na jike mmoja.
|
||
|
|
||
|
# Ikawa kwamba
|
||
|
|
||
|
Msemo huu unatumika hapa kuweka alama kuhusu tukio muhimu katika simulizi hii. Mwanzo wa gharika.
|
||
|
|
||
|
# baada ya zile siku saba
|
||
|
|
||
|
"baadaya siku saba" au"siku saba baadaye"
|
||
|
|
||
|
# maji ya gharika yakaja juu ya nchi
|
||
|
|
||
|
Habari inayojitokeza, "ikaanza kunyesha" inaweza kufanywa kuwa wazi. "ikaanza kunyesha na maji ya gharika yakaja juu ya nchi"
|