forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
902 B
Markdown
36 lines
902 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Matukio ya sura hii yanatokea baadaya Nuhu kujenga safina, kukusanya chakula, na kukiweka ndani ya safina.
|
||
|
|
||
|
# Njoo ...katika safina ...utakuja nao
|
||
|
|
||
|
"Ingia ... ndani ya safina .. chukua". Tafsiri nyingi husema "Nenda .. ndani ya safina .. chukua"
|
||
|
|
||
|
# wewe
|
||
|
|
||
|
Neno hapa "wewe" linamaana ya Nuhu la lipo katika umoja.
|
||
|
|
||
|
# nyumba yako
|
||
|
|
||
|
"familia yako"
|
||
|
|
||
|
# mwenye haki mbele yangu
|
||
|
|
||
|
Hii inamaana ya kwamba Mungu alimwona Nuhu kuwa mwenye haki.
|
||
|
|
||
|
# katika kizazi hiki
|
||
|
|
||
|
Hii inamaana ya watu wote ambao walikuwa wakiishi katika muda huo. "Kati ya watu wote wanaoishi sasa"
|
||
|
|
||
|
# mnyama aliye safi
|
||
|
|
||
|
Huyu alikuwa ni myama ambaye Mungu aliruhusu watu wake wamle na kutoa sadaka.
|
||
|
|
||
|
# wanyama wasio safi
|
||
|
|
||
|
Hawa ni wanyama ambao Mungu hakuruhusu watu wale au kutoa sadaka.
|
||
|
|
||
|
# kuhifadhi kizazi chao
|
||
|
|
||
|
"ili kwamba waweze kuwa na kizazi kitakachoishi" au "ili kwamba, baada ya gharika, wanyama waendelee kuishi"
|