forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
658 B
Markdown
28 lines
658 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla
|
||
|
|
||
|
Kinachofuata kimeandikwa na mwandishi. Mwanamume hakusema vitu hivi.
|
||
|
|
||
|
# Kwa hiyo
|
||
|
|
||
|
"Hii ni kwa sababu"
|
||
|
|
||
|
# mwanaume atawaacha baba yake na mama yake
|
||
|
|
||
|
"mwanamume ataacha kuishi kwenye nyumba ya baba na mama yake." Hii inahusu wanamume kwa ujumla. Hailengi mwanamume fulani katika muda fulani.
|
||
|
|
||
|
# watakuwa mwili mmoja
|
||
|
|
||
|
Lugha hii inaongelea tendo la ngono kana kwamba miili inakutana pamoja na kuwa kama mwili mmoja. "miili yao miwili itakuwa mwili mmoja"
|
||
|
|
||
|
# Wote wawili walikuwa uchi
|
||
|
|
||
|
Neno "walikuwa" linamaana ya mwanamume na mwanamke ambao Mungu aliwaumba.
|
||
|
|
||
|
# uchi
|
||
|
|
||
|
"kutovaa mavazi"
|
||
|
|
||
|
# lakini hawakuona aibu
|
||
|
|
||
|
"hawakuona aibu kwa kuwa uchi"
|