forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
571 B
Markdown
12 lines
571 B
Markdown
|
# Lakini sikuona mitume wengine isipokuwa Yakobo
|
||
|
|
||
|
Vikanushi viwili vinatilia mkazo kwamba Paulo alimwona mtume Yakobo tu. AT: Mtume pekee niliyemwona ni Yakobo."
|
||
|
|
||
|
# Mbele za Mungu
|
||
|
|
||
|
Paulo anawataka Wagalatia kuelewa kuwa Paulo alikuwa amedhamiria kweli na kwamba Mungu husikia kile anachokisema na kuwa atahukumiwa kama hatausema ukweli.
|
||
|
|
||
|
# Tazama, mbele za Mungu, sidanganyi kwa kile niandikacho kwenu
|
||
|
|
||
|
Paulo anatumia msemo huu kuweka mkazo kuwa anausema ukweli. AT: " katika ujumbe huu ninaowaandikia, Siwadanganyi" au " ninasema ukweli katika mambo niliyowaandikia ."
|