forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
887 B
Markdown
20 lines
887 B
Markdown
|
# anapaswa kutangaza
|
||
|
|
||
|
Hii inaelezea kitu ambacho hakijatokea na hakipaswi kutokea. "wangetangaza" au "walipaswa kutangaza"
|
||
|
|
||
|
# tofauti na ile
|
||
|
|
||
|
"tofauti na injili" au "tofauti na ujumbe"
|
||
|
|
||
|
# na alaaniwe
|
||
|
|
||
|
"Mungu anapaswa kumwadhibu mtu yule milele yote." na kama lugha yako ina neno au njia inayotumika kutoa laana kwa mtu, unaweza kutumia hiyo.
|
||
|
|
||
|
# Kwani sasa hivi ninatafuta uthibitisho wa watu au Mungu? Ninatafuta kuwafurahisha wanadamu?
|
||
|
|
||
|
Maswali haya hutarajia jibu ambalo ni " hapana" Hii ni sawa na kusema "sitafuti kukubaliwa na wanadamu, bali ninatafuta kukubaliwa na Mungu. sitafuti kuwafurahisha wanadamu."
|
||
|
|
||
|
# Kama ninaendelea kujaribu kuwafurahisha wanadamu, mimi sio mtumishi wa Kristo
|
||
|
|
||
|
Neno 'kama' linaonesha ukweli kuwa "mimi siwafurahishi wanadamu, mimi ni mtumishi wa Kristo." au " kama ningekuwa bado naendelea kuwafurahisha wanadamu, basi nisingekuwa mtumishi wa Mungu
|