forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
610 B
Markdown
20 lines
610 B
Markdown
|
# siku za watangulizi wetu
|
||
|
|
||
|
"wakati ambapo watangulizi wetu walikuwa hai"
|
||
|
|
||
|
# katika maovu makuu...katika makosa yetu
|
||
|
|
||
|
Neno "maovu" na "makosa" yanaweza kutafsiriwa kama kitenzi na kitendo, respectively. AT:"maovukweli...Kwa sababu ya uovu tulioufanya:
|
||
|
|
||
|
# sisi...tulikabidhiwa kwenye mikono ya mfalme
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kutafsiriwa kwenye mfumo hai.AT:ulitupa sisi...kwenye mikono ya mfalme"
|
||
|
|
||
|
# kwa upanga
|
||
|
|
||
|
Upanga ni msemo wa watu kuua watu wengine. Mungu aliruhusu watu kuwaua wayahudi.
|
||
|
|
||
|
# matekani
|
||
|
|
||
|
Hili jina linaweza kutafsiriwa kama kitendo. Mungu aliruhusu watu kuwakamata wayahudi na kuwachukua na kuwapeleka.
|