forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
759 B
Markdown
32 lines
759 B
Markdown
|
# Taarifa kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
Huu ni mwisho wa orodha ya majina ya wanaume
|
||
|
|
||
|
# wana wa Azgadi,Yohana mwana wa Hakatani
|
||
|
|
||
|
Hii ni kitu kinachofuata katika orodha. Inaweza kuandikwa pamoja na kitenzi "ilikuwa" AT:"Kiongozi wa wana wa Azgadi alikuwa Yohana mwana wa Hakatani" au "Yohana mwana wa Hakkatani alikuwa kiongozi wa wana wa Azgadi"
|
||
|
|
||
|
# na pamoja naye walikuwa wameorodheshwa wanaume 110
|
||
|
|
||
|
"na pamoja na Yohana waliorodheshwa wanaume 110"
|
||
|
|
||
|
# Wale wa wana wa adinikamu
|
||
|
|
||
|
Neno "wale" linamaanisha viongozi. AT:"Viongozi wa wana wa Adonikamu"
|
||
|
|
||
|
# AZgadi
|
||
|
|
||
|
Tafsiri jina hili la mtu kama ulivyofanya katika 2:11
|
||
|
|
||
|
# Adonikamu
|
||
|
|
||
|
Tafsiri jina hili la mtu kama ulivyofanya katika 2:11
|
||
|
|
||
|
# Bigvai
|
||
|
|
||
|
Tafsiri jina la mtu huyu kama ulivyofanya katika 2:1
|
||
|
|
||
|
# sitini...sabini
|
||
|
|
||
|
"60...70"
|