forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
764 B
Markdown
28 lines
764 B
Markdown
|
# mwezi wa tano
|
||
|
|
||
|
Huu ni mwezi wa tano kalenda ya Kiebrania. ni kipindi cha mwisho cha mwezi wa saba na sehemu ya awali ya mwezi wa nane katika kalenda ya Magharibi
|
||
|
|
||
|
# siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza
|
||
|
|
||
|
Hii ni karibu katikati ya mwezi wa tatu katika kalenda ya Magharibi
|
||
|
|
||
|
# siku ya kwanza ya mwezi wa tano
|
||
|
|
||
|
Hii ni karibu ya katikati ya mwezi wa sabakatika kalenda ya magharibi
|
||
|
|
||
|
# mkono mzuri wa Mungu
|
||
|
|
||
|
"mkono" inaonyesha nguvu au uongozi ambao Mungu anatumia kwa matokeo mazuri.
|
||
|
|
||
|
# Ezra akaendeleza moyo wa kujisomea
|
||
|
|
||
|
Kuendeleza moyo inamaanisha kuamua au kujitoa yeye binafsi kufanya kitu fulani. AT:"ezra alijitoa maisha yake katika kusoma"
|
||
|
|
||
|
# kutoa nje
|
||
|
|
||
|
"kutii"
|
||
|
|
||
|
# maagizo na sheria za Yahwe
|
||
|
|
||
|
Hizi ni sheria ambazo Mungu alizileta kwa Waisrael kwa kumtumia Musa
|