forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
589 B
Markdown
16 lines
589 B
Markdown
|
# Mithredathi......... Sheshbaza
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya wanaume
|
||
|
|
||
|
# akaviweka katika mikono ya Mithredathi mtunza fedha
|
||
|
|
||
|
Kuweka kitu katika mikono ya mtu ni fumbo la kumruhusu mtu kufanya kile anachotaka kwa kitu ulichompa. Hapa wasomaji waelewe kwamba Koreshi alitegemea Methredathi kufanya ambacho Koreshi alimtaka akifanye.AT:"kumweka Methredathi mtunza fedha kiongozi wao" au "kumweka Methredathi mtunza fedha kuwajibika kwa ajili yao"
|
||
|
|
||
|
# mtunza fedha
|
||
|
|
||
|
kiongozi mhusika wa fedha
|
||
|
|
||
|
# akavitoa na kuvihesabu kwa Sheshbaza
|
||
|
|
||
|
kuhakikisha kwamba Sheshbaza anafahamu kwa uhakika vitu vyote vilivyo
|