forked from WA-Catalog/sw_tn
52 lines
870 B
Markdown
52 lines
870 B
Markdown
|
# kuzunguka eneo la hekalu
|
||
|
|
||
|
"kuelekea moja kwa moja kuzunguka eneo la hekalu"
|
||
|
|
||
|
# dhiraa sita urefu
|
||
|
|
||
|
"dhiraa sita urefu." Hii ilikuwa kama mita 3.2.
|
||
|
|
||
|
# kila "urefu" unalingana na dhiraa na ujazo wa kiganja
|
||
|
|
||
|
Kila urefu wa dhiraa ulikuwa kama sentimita 54.
|
||
|
|
||
|
# ujazo wa kiganja
|
||
|
|
||
|
"upana wa mkono." Hii ilikuwa kama sentimita 8.
|
||
|
|
||
|
# upana wa ukuta
|
||
|
|
||
|
"ni jinsi gani ukuta ulikuwa mpana." Ukuta ulikuwa mpana kama jengo.
|
||
|
|
||
|
# mwanzi mmoja
|
||
|
|
||
|
"ilikuwa mwanzi mmoja upana." Hii ni kama mita 3.2.
|
||
|
|
||
|
# urefu mwanzi mmoja
|
||
|
|
||
|
"na mwanzi mmoja urefu"
|
||
|
|
||
|
# panda ngazi zake
|
||
|
|
||
|
"na alipanda ngazi za lango"
|
||
|
|
||
|
# kina
|
||
|
|
||
|
"kutoka mbele ya kizingiti hata nyuma"
|
||
|
|
||
|
# vyumba vya ulinzi
|
||
|
|
||
|
Kulikuwa na vyumba vilivyokuwa vimejengwa ndani ya lango ambavyo walikaa walinzi kulinda lango.
|
||
|
|
||
|
# dhiraa tano
|
||
|
|
||
|
kama mita 2.7.
|
||
|
|
||
|
# kati ya vyumba viwili
|
||
|
|
||
|
"kati ya vyumba"
|
||
|
|
||
|
# varanda
|
||
|
|
||
|
Tazama tafsiri yake katika sura ya 8:16.
|