forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
719 B
Markdown
36 lines
719 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Yahwe anaendelea kunena na Ezekili.
|
||
|
|
||
|
# watakaponena na wea na kusema
|
||
|
|
||
|
Tazama tafsiri yake katika sura ya 33:23.
|
||
|
|
||
|
# haya mambo yako yana maana gani
|
||
|
|
||
|
"fimbo zako nina maana gani" au "kwa nini upo na hizi fimbo"
|
||
|
|
||
|
# Tazama!
|
||
|
|
||
|
"Ona" au "Sikia!"
|
||
|
|
||
|
# chipukizi la Yuda
|
||
|
|
||
|
"chipukizi la Yuda." Hii inawakilisha utawala wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# lipo kwenye mkono wa Efraimu
|
||
|
|
||
|
Neno "mkono" linarejea kwa uweza. "ambalo ni kabila la Efraimu kutawala"
|
||
|
|
||
|
# kabila za Israeli wenzake
|
||
|
|
||
|
"makabila mengine ambayo ni wenzao na Israeli. au "makabila mengine ya Israeli ambayo ni sehemu ya huo ufalme"
|
||
|
|
||
|
# tawi la Yuda
|
||
|
|
||
|
"fimbo ya Yuda." Hii inawakilisha ufalme wa yuda.
|
||
|
|
||
|
# mbele ya macho yao
|
||
|
|
||
|
Tazama tafsiri yake katika sura ya 21:16.
|