forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
443 B
Markdown
20 lines
443 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Ezekieli ananena
|
||
|
|
||
|
# kama nilivyokuwa nimeamuru
|
||
|
|
||
|
"kama yahwe alivyokuwa ameniamuru kunena."
|
||
|
|
||
|
# tazama
|
||
|
|
||
|
Neno "tazma" hapa linaonyesha kwamba ezekieli alishangazwa kwa kile alichokiona.
|
||
|
|
||
|
# mishipa
|
||
|
|
||
|
Hii inarejea kwa sehemu za binadamu ambazo ni kama gidamu ngumu na kushika mifupa na misuli pamoja.
|
||
|
|
||
|
# Lakini hapakuwa na pumzi juu yao
|
||
|
|
||
|
Hapa "pumzi" inarejea kwa tendo la kupumua. "lakini hawakuwa wanapumua" au "hawakuwa hai"
|