forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
835 B
Markdown
36 lines
835 B
Markdown
|
# neno la Yahwe likaja
|
||
|
|
||
|
"Yahwe akanena neno lake."
|
||
|
|
||
|
# Mwanadamu
|
||
|
|
||
|
Tazama tafsir yake katika sura ya 2:1:
|
||
|
|
||
|
# Nyumba ya Israeli
|
||
|
|
||
|
Tazama tafsiri yake katika sura ya 3:1.
|
||
|
|
||
|
# pamoja na njia zao na matendo yao
|
||
|
|
||
|
"jinsi walivyoishi na mambo waliyoyafanya"
|
||
|
|
||
|
# Njia zao zilikuwa kama uchafu wa hedhi ya mwanamke mbele yangu
|
||
|
|
||
|
"Njia zao zilikuwa kama machukizo kwangu kama uchafu wa hedhi ya mwanamke"
|
||
|
|
||
|
# hedhi ya mwanamke
|
||
|
|
||
|
ni damu itokayo kwa mwanamke kila mwezi wakati anapokuwa hana mimba
|
||
|
|
||
|
# nimeimwaga ghadhabu yangu juu yao
|
||
|
|
||
|
"nimefanya mambo kwao yanayoonyesha jinsi nilivyokuwa na hasira."
|
||
|
|
||
|
# kwa ajili ya damu waliyoimwaga juu yanchi
|
||
|
|
||
|
"kwa sabababu wamefanya damu ya watu wengi kusambaa kwenye nchi" au "kwa sababu wamewaua watu wengi."
|
||
|
|
||
|
# na kwa ajili ya uchafu wa hiyo kwa sanamu zao
|
||
|
|
||
|
"na kwa sababu wameinajisi nchi yangu kwa sanamu zao"
|