forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
723 B
Markdown
32 lines
723 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Huu ni mwendelezo wa ujumbe wa Yahwe kwa milima ya Israeli.
|
||
|
|
||
|
# wanakwambia
|
||
|
|
||
|
"mataifa mengine yanakwambia milima"
|
||
|
|
||
|
# Umewala watu
|
||
|
|
||
|
"Umewafanya watu wangu kufa." Neno "ume" ni umoja na linarejea kwa "nchi ya Israeli."
|
||
|
|
||
|
# watoto wako wa taifa wamekufa
|
||
|
|
||
|
"umewafanya watoto wa watu wako kufa." Hii inaonyesha kwamba milima hufanya hivi kwa kuacha kuotesha mbegu nzuri.
|
||
|
|
||
|
# Hili ndilo tangazo la Yahwe
|
||
|
|
||
|
Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11.
|
||
|
|
||
|
# Wala sintokuruhusu kusikiliza fedhiha za mataifa tena
|
||
|
|
||
|
"sitayaruhusu mataifa mengine tena kukufedhehesha."
|
||
|
|
||
|
# hautachukua tena aibu ya watu
|
||
|
|
||
|
"watu hawatakusababisha kujisikia aibu"
|
||
|
|
||
|
# au kufanya taifa lako kuanguka
|
||
|
|
||
|
"na ninyi milima fanyeni taifa lenu lishinde"
|