forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
747 B
Markdown
32 lines
747 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Huu ni mwendelezo wa ujumbe wa Yahwe kwa mataifa ya Israeli.
|
||
|
|
||
|
# nyumba ya Israeli
|
||
|
|
||
|
Tazama tafsiri yake katika sura ya 3:1.
|
||
|
|
||
|
# Miji itakaa na palipoharibiwa kujengwa
|
||
|
|
||
|
"Kisha watu wataishi katika miji na watayajenga tena magofu."
|
||
|
|
||
|
# wataongezeka na kuzaa
|
||
|
|
||
|
"watakuwa watu wengi sana na watoto wengi sana"
|
||
|
|
||
|
# nitawafanya kuishi kama mlivyokuwa
|
||
|
|
||
|
"watu kuishi juu yako milima kama walivyofanya kabla"
|
||
|
|
||
|
# mtajua yakwamba mimi ni Yahwe
|
||
|
|
||
|
Tazama tafsiri yake katika sura ya 6:6.
|
||
|
|
||
|
# watakumiliki
|
||
|
|
||
|
Neno "wewe" ni umoja na linarejea kwa "nchi ya Israeli."
|
||
|
|
||
|
# hutasababisha tena watoto wao kufa
|
||
|
|
||
|
Hii inaonyesha kwamba zamani watoto walikufa kwa sababu hapakuwa na chakula cha kutosha katika nchi. Kisha nchi ilizalisha chakula cha kutosha.
|