forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
607 B
Markdown
24 lines
607 B
Markdown
|
# Farao ataona
|
||
|
|
||
|
"Farao ataona maiti zote kutoka mataifa mengine."
|
||
|
|
||
|
# na kupata faraja kuhusu watumishi wake
|
||
|
|
||
|
Inaonyesha kwamba Farao atafarijiwa kwa sababu maadui wa wafalme wengine wakubwa wamekufa pia.
|
||
|
|
||
|
# ambao waliuawa kwa upanga
|
||
|
|
||
|
Tazama tafsiri yake katika sura ya 31:17.
|
||
|
|
||
|
# hili ndilo tangazo la Yahwe
|
||
|
|
||
|
Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11.
|
||
|
|
||
|
# Natamuweka kama utiisho katika nchi ya walio hai
|
||
|
|
||
|
"Wakati Farao alipokuwa bado yupo hai, nilimruhusu kuwaogofya watu"
|
||
|
|
||
|
# atakuwa amelala chini katikati yao wasiotahiriwa
|
||
|
|
||
|
Hapa "lala chini" inarejea kwa mwili wake kuwekwa katika kaburi wakati atakapokufa.
|