forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
916 B
Markdown
40 lines
916 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
fumbo la Yahwe kuhusu mkangazi linaendelea.
|
||
|
|
||
|
# walishuka chini pamoja nayo hata Sheoli
|
||
|
|
||
|
"Hiyo miti ya Lebanoni pia imekufa na kushuka chini hata Sheoli pamoja na mkangazi"
|
||
|
|
||
|
# walikuwa wameuawa kwa upanga
|
||
|
|
||
|
"ambao maadui waliuawa kwa upanga" au "waliokufa katika mapigano"
|
||
|
|
||
|
# Hili lilikuwa jeshi lake imara
|
||
|
|
||
|
"Hii miti ya Lebanoni ilikuwa jeshi lake imara." Neno "jeshi imara" maana yake "nguvu."
|
||
|
|
||
|
# 8Umefanana na nani hivi katika utukufu na ukuu kati ya mti wa Edeni?
|
||
|
|
||
|
Mungu anamuuliza Farao jili swali kumwonyesha kwamba fumbo linatumika kwake na nchi yake.
|
||
|
|
||
|
# Kwa kuwa utashushwa chini
|
||
|
|
||
|
"Kwa kuwa nitakusha chini"
|
||
|
|
||
|
# pamoja na miti ya Edeni
|
||
|
|
||
|
"kama miti mingine ya Edeni"
|
||
|
|
||
|
# hata sehemu za mwisho za nchi
|
||
|
|
||
|
"hata sehemu ya chini katika aridhi"
|
||
|
|
||
|
# miongoni mwa wasiotahiriwa
|
||
|
|
||
|
"utakuwa wapi na watu ambao hawajatahiriwa"
|
||
|
|
||
|
# hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo
|
||
|
|
||
|
Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11.
|