forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
580 B
Markdown
24 lines
580 B
Markdown
|
# ikawa
|
||
|
|
||
|
Hili neno limetumika hapa kuonyesha mwanza wa sehemu nyingine ya hadithi.
|
||
|
|
||
|
# katika mwaka wa kumi na moja
|
||
|
|
||
|
Tazama tafsiri yake katika sura ya 26:1.
|
||
|
|
||
|
# katika tatu ya mwezi, siku ya tatu ya mwezi
|
||
|
|
||
|
"katika siku ya kwanza ya mwezi wa tatu."
|
||
|
|
||
|
# neno la Yahwe likaja
|
||
|
|
||
|
"Yahwe akanena neno lake."
|
||
|
|
||
|
# mwanadamu
|
||
|
|
||
|
Tazama tafsiri yake katika sura ya 2:1.
|
||
|
|
||
|
# Katika ukuu wako, wewe ni kama nani?
|
||
|
|
||
|
"Ni nani aliye mkuu kama wewe?" Yahwe anatumia hili swali kutambulisha mada mpya. Farao alifikiri kwamba taifa lake lilikuwa kubwa zaidi, lakini Mungu anataka kuzungumzia taifa jingine.
|