forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
462 B
Markdown
20 lines
462 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Haya ni maneno ya Yahwe kuhusu Misri.
|
||
|
|
||
|
# Nitaifanya mito kuwa nchi kavu
|
||
|
|
||
|
"Nitaikausha mito ya Misri"
|
||
|
|
||
|
# nitaiuza nchi kwenye mkono wa watu waovu
|
||
|
|
||
|
Yahwe atawapatia Wababeli kutawala juu ya Misri kama mtu auzaye kitu kumpatia yule akununuaye kukitawala hicho kitu.
|
||
|
|
||
|
# Nitaifanya nchi na viijazavyo ukiwa kwa mkono wa wageni
|
||
|
|
||
|
"Nitawafanya watu kutoka taifa jingine kuiharibu nchi na kila kitu ndani yake"
|
||
|
|
||
|
# viijazavyo
|
||
|
|
||
|
"kila kitu katika nchi"
|