forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
1.0 KiB
Markdown
40 lines
1.0 KiB
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Haya ni maneno ya Yahwe kuhusu Misri
|
||
|
|
||
|
# Kisha upanga utakuja juu ya Misri
|
||
|
|
||
|
Neno "upanga" hapa linarejea kwa vita au shambulizi. "Kutakuwa na vita juu ya Misri"
|
||
|
|
||
|
# kutakuwa na maumivu makali katika Kushi
|
||
|
|
||
|
"Kushi itakuwa na huzuni sana" au "watu wa Kushi watakuwa na huzuni kubwa sana"
|
||
|
|
||
|
# wakati wauaji wa watu watakapoanguka katika Misri
|
||
|
|
||
|
"wakati watu wa Misri watakapouawa" au "wakati watu wengi katika Misri watakapokufa katika vita."
|
||
|
|
||
|
# wakati watakapochukua utajiri wake
|
||
|
|
||
|
"Washambuliaji watauchukua utajiri wa misri"
|
||
|
|
||
|
# wakati msingi wake utakapoharibiwa
|
||
|
|
||
|
"Washambuliaji wataiharibu hata misingi ya majengo katika Misri"
|
||
|
|
||
|
# Libya
|
||
|
|
||
|
Libya ni nchi ya magharibi mwa Misri.
|
||
|
|
||
|
# Ludi
|
||
|
|
||
|
Hii ni kama inaurejea ufalme wa Ludi ambayo kwa sasa ni Uturuki. Ezekieli anaiita mkoa wa Ludi.
|
||
|
|
||
|
# watu wa nyumba ya agano
|
||
|
|
||
|
"Wayahudi wanaoishi Misri"
|
||
|
|
||
|
# wataanguka kwa upanga
|
||
|
|
||
|
"watakufa kwa mapambano" au "watakufa kwa upanga." Hii haimaanishi kwamba kila mtu atakufa, lakini kwamba watu wengi kutoka hizi nchi zote watakufa.
|