forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
500 B
Markdown
12 lines
500 B
Markdown
|
# sialaha
|
||
|
|
||
|
Neno la Kiebrani hapa limetafsiri kama "silaha" ni adimu. Matoleo mengi ya kisasa yanaitafsiri katika njia hii, lakini baadhi ya matoleo yameiacha kama ilivyo.
|
||
|
|
||
|
# Watapanga ngao kubwa, ngao ndogo, na kofia za chuma juu yako
|
||
|
|
||
|
Hizi njia za utetezi zimetumika kurejea kwa aina tofauti tofauti za maaskari katika jeshi.
|
||
|
|
||
|
# Wataikata pua yako na maskio yako
|
||
|
|
||
|
Hii inaelezea adhabu katika Babeli kwa mwanamke aliyeoolewa ambaye alilala na wanaume ambao sio waume zao. "Watawaadhibu kama wazinzi"
|