forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
396 B
Markdown
12 lines
396 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Yahwe anaendelea kumweleza Ezekieli kuhusu uzinifu wa mke wake Ohola
|
||
|
|
||
|
# wakati walipoanza kummwagia tabia ya uzinzi
|
||
|
|
||
|
Neno "mwaga" linatumia wazo la maji kumwagwa kueleza kitu kikitokea katika mlima mkubwa.
|
||
|
|
||
|
# kwenye mkono wa mpenzi wake, kwenye mkono wa Waashuru
|
||
|
|
||
|
Neno "mkono" linarejea kwa nguvu au mamlaka. Neno la pili linaeleza kwamba "wapenzi wake" walikuwa "Waashuru."
|