forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
599 B
Markdown
16 lines
599 B
Markdown
|
# ukoo wa kifalme
|
||
|
|
||
|
Neno "ukoo wa kifalme" linawaelezea watu na vitu ambavyo vinavyohusiana na mfalme au malkia.
|
||
|
|
||
|
# uzao, muundo wa uzao
|
||
|
|
||
|
"Uzao" ni mtu mwenye uhusiano wa damu moja kwa moja toka kwa mtu mwingine wa mbali katika historia ya familia fulani.
|
||
|
|
||
|
# agano
|
||
|
|
||
|
Agano ni makubaliano rasmi, yenye ahadi za viapo baina ya pande mbili ambapo upande mmoja au pande zote zinalazimika kulitimiza.
|
||
|
|
||
|
# nadhiri, kiapo, kujiapiza
|
||
|
|
||
|
Katika Biblia, nadhiri ni ahadi rasmi ya kufanya jambo fulani. Mtu anayefanya nadhiri hutakiwa kuitimiza ahadi hiyo. Nadhiri inahusisha mtu kujitoa kuwa mwaminifu na mkweli.
|