forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
790 B
Markdown
28 lines
790 B
Markdown
|
# neno la Yahwe likaja
|
||
|
|
||
|
"Yahwe alinena neno lake."
|
||
|
|
||
|
# kunijia ... ono ambalo ona ... na ametabiri
|
||
|
|
||
|
Maneno "mimi" na "yeye" yanamrejea Ezekieli.
|
||
|
|
||
|
# waambie
|
||
|
|
||
|
Neno "wao" linarejea kwa watu wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# Tazama
|
||
|
|
||
|
Neno "Tazama" hapa linatutahadharisha kuwa makini kwa kushangaza habari inayofuata.
|
||
|
|
||
|
# 'Lile ono alionalo ni kwa siku nyingi kutoka sasa, na ametabiri kipindi kilicho mbali sana
|
||
|
|
||
|
Haya maneno yote ni njia ya watu wa Israeli wanasema maonyo ya Ezekieli hayatatokea katika kipindi cha maisha lakini yatatokea huko mbeleni sana.
|
||
|
|
||
|
# Maneno yangu hayatacheleweshwa sana, lakini lile neno nililoliongea litatimizwa
|
||
|
|
||
|
Haya maneno ni njia zote Mungu anawaambia watu wa Israeli kwamba mambo aliyoyaonya, yatatokea punde.
|
||
|
|
||
|
# hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo!
|
||
|
|
||
|
Tazama tafsiri yake katika 5:11.
|