forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
713 B
Markdown
36 lines
713 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Mungu anaendelea na unabii wa kile kitakachotokea kwa Wasraeli waliotawanyika.
|
||
|
|
||
|
# oyo wa jiwe kutoka kwenye miili yao
|
||
|
|
||
|
Hii ni njia ya kusema kwamba Mungu atabadilisha mwonekano wao kutoka ukaidi wa uasi. "ukaidi wao"
|
||
|
|
||
|
# moyo wa nyama
|
||
|
|
||
|
Hii ni njia ya kusema kwamba Mungu atabadilisha mwonekano wao kukubali kanuni yake. "utayari wa kutii"
|
||
|
|
||
|
# watatembea kwenye amri zangu, watayachukua maagizo yangu na kuyatenda
|
||
|
|
||
|
Kila moja ya haya maneno inaelezea watu kama kutii kile Yahwe alichowaamuru kufanya.
|
||
|
|
||
|
# tabia ya kujifanya
|
||
|
|
||
|
"moyo wa ibaada"
|
||
|
|
||
|
# mambo maovu
|
||
|
|
||
|
"mambo ya karaha" au "mambo ya machukizo"
|
||
|
|
||
|
# mwenendo
|
||
|
|
||
|
"matendo"
|
||
|
|
||
|
# juu ya vichwa vyao wenyewe
|
||
|
|
||
|
"rudi juu ya wale watu."
|
||
|
|
||
|
# tamko
|
||
|
|
||
|
"kauli"
|