sw_tn/ezk/06/01.md

32 lines
669 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Maelezo ya Jumla:
Yahwe anamwambia Ezekieli kunena na milima kana kwamba walikuwa watu ili kwamba watu wa Israeli wangesikia maneno na kujua kwamba maneno ya Ezekieli yalikuwa kwa ajili yao.
# Neno la Yahwe likanijia
"Yahwe akanena nami."
# Mwana wa adamu
"Mwana wa mwanadamu" au "Mwana wa bianadamu."
# weka uso wako juu ya milima ya Israeli
"tazama milima ya Israeli kwa uso wa nguvu."
# milima ya Israeli
"milima ya Israeli katika nchi ya Israeli."
# Tazama!
"Tazama!" au "Sikiliza!" au "Kuwa makini kwa kile ninachotaka kukwambia!"
# Bwana Yahwe
Jina la Mungu
# naleta upanga juu yako
Neno "upanga" hapa linarejelea vita. "ninaleta vita juu yako."