forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
669 B
Markdown
32 lines
669 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Yahwe anamwambia Ezekieli kunena na milima kana kwamba walikuwa watu ili kwamba watu wa Israeli wangesikia maneno na kujua kwamba maneno ya Ezekieli yalikuwa kwa ajili yao.
|
||
|
|
||
|
# Neno la Yahwe likanijia
|
||
|
|
||
|
"Yahwe akanena nami."
|
||
|
|
||
|
# Mwana wa adamu
|
||
|
|
||
|
"Mwana wa mwanadamu" au "Mwana wa bianadamu."
|
||
|
|
||
|
# weka uso wako juu ya milima ya Israeli
|
||
|
|
||
|
"tazama milima ya Israeli kwa uso wa nguvu."
|
||
|
|
||
|
# milima ya Israeli
|
||
|
|
||
|
"milima ya Israeli katika nchi ya Israeli."
|
||
|
|
||
|
# Tazama!
|
||
|
|
||
|
"Tazama!" au "Sikiliza!" au "Kuwa makini kwa kile ninachotaka kukwambia!"
|
||
|
|
||
|
# Bwana Yahwe
|
||
|
|
||
|
Jina la Mungu
|
||
|
|
||
|
# naleta upanga juu yako
|
||
|
|
||
|
Neno "upanga" hapa linarejelea vita. "ninaleta vita juu yako."
|