forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
493 B
Markdown
28 lines
493 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
YAhwe anaendelea kunena.
|
||
|
|
||
|
# Bwana Yahwe
|
||
|
|
||
|
Jina la Mungu
|
||
|
|
||
|
# Hii ndio Yerusalemu
|
||
|
|
||
|
"Hili pango linawakilisha Yerusalemu"
|
||
|
|
||
|
# katikati ya Mataifa
|
||
|
|
||
|
Maana ziwezekanazo 1) mataifa mengine yalikuwa pande zote za Yerusalemu au 2) "muhimuz aidi kuliko mataifa mengine."
|
||
|
|
||
|
# nimemuweka
|
||
|
|
||
|
Yerusalemu inarejelewa kama "yeye" na "-kike."
|
||
|
|
||
|
# nchi nyingine
|
||
|
|
||
|
"nchi jirani" au "nchi zinazozunguka"
|
||
|
|
||
|
# Watu wamezikataa hukumu zangu
|
||
|
|
||
|
"Watu wa Israeli na Yerusalemu wamekataa kutii hukumu zangu."
|