forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
508 B
Markdown
24 lines
508 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Roho anaendelea kunena na Ezekieli.
|
||
|
|
||
|
# ngano, shayiri, ... mtama, na kusemethi
|
||
|
|
||
|
Hii ni aina tofauti tofauti za nafaka.
|
||
|
|
||
|
# maharagwe
|
||
|
|
||
|
mbegu za mizabibu, ambao humea katika safu moja ndani yake njia nyingine tunda tupu, linaweza kuliwa
|
||
|
|
||
|
# dengu
|
||
|
|
||
|
Haya ni kama maharagwe, lakini mbegu zake ni ndogo, mviringo, na sawasawa.
|
||
|
|
||
|
# shekeli ishirini kwa siku
|
||
|
|
||
|
"shekeli 20 kwa siku." gram 200 za mkate kila siku"
|
||
|
|
||
|
# sita ya hini
|
||
|
|
||
|
" hini1/6" au "sehemu ya sita ya hini" au "takriban nusu lita" (UDB)
|