forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
920 B
Markdown
32 lines
920 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Ezekieli anaeleza kuhusu uzoefu wake huko Tel-Abibu.
|
||
|
|
||
|
# neno la Yahwe likanijia
|
||
|
|
||
|
"Yahwe alinena nami."
|
||
|
|
||
|
# mwangalizi
|
||
|
|
||
|
Mungu alimwambia Ezekieli kuwaonya wana wa Israeli kama mwangalizi alivyowaonya watu wa mji kama maaduli walikuwa wakija, hivyo wangeweza kujiandaa na kuwa salama.
|
||
|
|
||
|
# nyumba ya Israeli
|
||
|
|
||
|
Neno "nyumba" inasimama kwa ajili ya familia iishiyo katika nyumba, kwa kesi hii Waisraeli, uzao wa Yakobo zaidi ya miaka mingi. "kundi la watu Waisraeli"
|
||
|
|
||
|
# onyo kwa waovu kuhusu matendo yao maovu ili aishi
|
||
|
|
||
|
"onyo kwa watu waovu kuacha kufanya mambo yake maovu ili aweze kuishi"
|
||
|
|
||
|
# mwovu
|
||
|
|
||
|
"watu waovu"
|
||
|
|
||
|
# kutaka damu yake kutoka kwenye mkono wako
|
||
|
|
||
|
Hii ni lugha inayoshikilia wajibu au hatia ya kuua. "nitakutenda kana kwamba ulikuwa umemuua"
|
||
|
|
||
|
# hawezi kugeuka kutoka uovu wake au kutoka matendo yao maovu
|
||
|
|
||
|
Neno "matendo maovu" maana yake kitu kimoja kama "uovu." hakuacha kufanya mambo maovu."
|