forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
513 B
Markdown
20 lines
513 B
Markdown
|
# Sentensi Unganishi:
|
||
|
|
||
|
Ezekieli anaendelea kulezea maona yake
|
||
|
|
||
|
# walienda bila kugeuka mahali popote viumbe walipokuwa wameelekea
|
||
|
|
||
|
"magurudumu yalikuwa yanaweza kwenda katika mahali popote penye njia nne ambapo viumbe walipokuwa wameelekea"
|
||
|
|
||
|
# Kama kwa ajili ya kingo zao
|
||
|
|
||
|
"Hivi ndivyo kingo za magurudumu zilifanana"
|
||
|
|
||
|
# walikuwa warefu na wakutisha
|
||
|
|
||
|
"kingo zilikuwa ndefu na zakutisha"
|
||
|
|
||
|
# kingo zikuwa zimejaa macho yaliyozunguka
|
||
|
|
||
|
"kwa sababu kingo zilikuwa zilikuwa nyingi sana kuzunguka magurudumu yote manne"
|