sw_tn/exo/40/01.md

4 lines
178 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza ya mwaka
Mwaka mpya una hashiria wakati ambao Mungu aliwaokoa watu wake kutoka Misri. Hii inatokea wakati wa Machi kwa kalenda za Magharibi.