forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
395 B
Markdown
20 lines
395 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Musa anaendelea kuwaambia watu nini Mungu kawaamuru kufanya.
|
||
|
|
||
|
# Kila mwanaume mwenye ustadi
|
||
|
|
||
|
"Kila mwanaume aliye na ustadi"
|
||
|
|
||
|
# vifungo
|
||
|
|
||
|
Vifungo vinatoshea kwenye vishimo vyake kushikilia pazia pamoja.
|
||
|
|
||
|
# sakafu
|
||
|
|
||
|
Hivi ni vitu vizito vinavyo kaa chini na kuwezesha visisogee.
|
||
|
|
||
|
# kiti cha rehema
|
||
|
|
||
|
Hichi ni kiti kinacho keti juu ya sanduku ambapo sadaka ya upatanisho yatolewa.
|