forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
738 B
Markdown
28 lines
738 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.
|
||
|
|
||
|
# manukato
|
||
|
|
||
|
mimea iliyo kauka watu wanayo kausha kuwa unga na kuweka kwenye mafuta au chakula kutoa harufu nzuri au ladha.
|
||
|
|
||
|
# shekeli mia tano ... shekeli 250
|
||
|
|
||
|
"shekeli 500 ... shekeli 250" Shekeli ni kama gramu 11.
|
||
|
|
||
|
# mdalasini ... kane ... kida
|
||
|
|
||
|
Haya ni manukato mazuri.
|
||
|
|
||
|
# kwa kuiandama shekeli ya mahali patakatifu
|
||
|
|
||
|
Dhahiri kulikuwa na shekeli zenye uzito zaidi ya moja kipindi hicho.
|
||
|
|
||
|
# kazi ya ustadi ya mtengezaji manukato
|
||
|
|
||
|
Maana zinazo wezekana ni 1) Musa alikuwa na mtengeneza manakuto afanye hii kazi au 2) Musa alikuwa afanye hii kazi kama mtengeneza manukatao anavyo fanya.
|
||
|
|
||
|
# mtengezaji manukato
|
||
|
|
||
|
mtu mwenye utaalamu wa kuchanganya manukato na mafuta
|