forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
398 B
Markdown
24 lines
398 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
|||
|
|
|||
|
Yahweh anaendelea kungea na Musa.
|
|||
|
|
|||
|
# pembe
|
|||
|
|
|||
|
Hii ilikuwa mifano ya pembe za ng'ombe zilizokuwa zimewekwa kwenye miisho minne ya madhabahu.
|
|||
|
|
|||
|
# damu yote
|
|||
|
|
|||
|
"damu iliyo baki"
|
|||
|
|
|||
|
# yafunikayo matumbo
|
|||
|
|
|||
|
"yanayofunika viungo vya ndani"
|
|||
|
|
|||
|
# ini ... figo
|
|||
|
|
|||
|
Hivi ni viungo mwilini.
|
|||
|
|
|||
|
# Lakini nyama yake huyo ng’ombe, na ngozi yake, na mavi yake
|
|||
|
|
|||
|
"Lakini kwa viungo vilivyo baki vya ng'ombe"
|