forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
427 B
Markdown
20 lines
427 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Yahweh anaendelea kuongea na Musa.
|
||
|
|
||
|
# kanzu
|
||
|
|
||
|
Hili lilikuwa kanzu lilo shoneshewa mchoro.
|
||
|
|
||
|
# mshipi wa naivera uliosukwa kwa ustadi
|
||
|
|
||
|
Hii ilikuwa nguo iliyo tengenezwa kwa nyuzi mtu aliyo sokotwa pamoja kufanya uzi mgumu.
|
||
|
|
||
|
# kilemba
|
||
|
|
||
|
kitambaa kirefu cha kichwa kinacho zungushwa kichwani mara kadhaa.
|
||
|
|
||
|
# taji takatifu
|
||
|
|
||
|
Hili taji limeelezewa katika 29:5 kuwa limechorwa kwa maneno "tolewa kwa ajili ya Yahweh"
|