sw_tn/exo/29/05.md

20 lines
427 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa.
# kanzu
Hili lilikuwa kanzu lilo shoneshewa mchoro.
# mshipi wa naivera uliosukwa kwa ustadi
Hii ilikuwa nguo iliyo tengenezwa kwa nyuzi mtu aliyo sokotwa pamoja kufanya uzi mgumu.
# kilemba
kitambaa kirefu cha kichwa kinacho zungushwa kichwani mara kadhaa.
# taji takatifu
Hili taji limeelezewa katika 29:5 kuwa limechorwa kwa maneno "tolewa kwa ajili ya Yahweh"