forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
324 B
Markdown
20 lines
324 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.
|
||
|
|
||
|
# mabakuli
|
||
|
|
||
|
"mabeseni"
|
||
|
|
||
|
# meko
|
||
|
|
||
|
Kulikuwa na meko iliyo shika makaa kutoka madhabahuni.
|
||
|
|
||
|
# Vyombo
|
||
|
|
||
|
Haya yalikuwa vifaa au vitu vilivyo tumika kwa kusudi.
|
||
|
|
||
|
# Nawe uifanyie hiyo madhabahu wavu wa shaba
|
||
|
|
||
|
"Nawe ufanye wavu wa shaba kwa ajili ya madhabahu"
|