forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
460 B
Markdown
20 lines
460 B
Markdown
|
# Kwanini wewe, Musa, unaendelea kuniita mimi?
|
||
|
|
||
|
Musa ni wazi alikuwa akiomba kwa Mungu kwa msaada hivyo Mungu anatumia hili swali kumshawishi Musa kutenda.
|
||
|
|
||
|
# uigawanye sehemu mbili
|
||
|
|
||
|
"gawanya bahari katika sehemu mbili"
|
||
|
|
||
|
# Jitahadharishe
|
||
|
|
||
|
"jua"
|
||
|
|
||
|
# nitafanya mioyo ya Wamisri kuwa migumu
|
||
|
|
||
|
Hapa "mioyo" ya husu Wamisri wenyewe. Tabia zao za kiburi zinatajwa kama mioyo yao migumu.
|
||
|
|
||
|
# ili wawafuate
|
||
|
|
||
|
"ili kwamba Wamisri wataenda kwenye bahari baada ya Waisraeli"
|