forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
349 B
Markdown
12 lines
349 B
Markdown
|
# ningeweza kuunyosha mkono wangu na kukushambulia wewe
|
||
|
|
||
|
Hapa "mkono wangu" wa husu nguvu ya Mungu.
|
||
|
|
||
|
# ili kwamba jina langu litangazwe dunia nzima
|
||
|
|
||
|
Hapa "jina langu" la wakilisha sifa ya Yahweh.
|
||
|
|
||
|
# unajiinua dhidi ya watu wangu
|
||
|
|
||
|
Upinzani wa Farao kuto waachia wa Israeli kwenda kumuabudu Yahweh unazungumziwa kama anajiinua yeye kuwa kikwazo kwao.
|