forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
349 B
Markdown
20 lines
349 B
Markdown
|
# Katika siku za Ahasuero
|
||
|
|
||
|
"Katika wakati wa Ahasuero" au "wakati Ahasuero alipokuwa akitawala kama mfalme."
|
||
|
|
||
|
# 127
|
||
|
|
||
|
(Tazama: tafsiri nambari)
|
||
|
|
||
|
# majimbo
|
||
|
|
||
|
"Jimbo" ni sehemu kubwa ambayo katika hiyo baadhi ya nchi zimegawanywa kwa makusudi ya serikali.
|
||
|
|
||
|
# Ngome
|
||
|
|
||
|
Ngome, boma au kambi iliyoimarishwa.
|
||
|
|
||
|
# Shushani
|
||
|
|
||
|
Mji wa utawala wa wafalme wa Uajemi.
|