forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
537 B
Markdown
20 lines
537 B
Markdown
|
# Kama maneno yanavyo anza kutiririka mdomoni mwa mpumbavu
|
||
|
|
||
|
"Kama mpumbavu anavyoanza kuongea"
|
||
|
|
||
|
# mwisho mdomo wake hutiririka wazimu mbaya
|
||
|
|
||
|
"anapomaliza kuonge, anaongea wazimu mbaya"
|
||
|
|
||
|
# Mpumbavu huongeza maneno
|
||
|
|
||
|
"Mpumbavu huendelea kuongea"
|
||
|
|
||
|
# hakuna ajuaye kinachokuja
|
||
|
|
||
|
Swali hili linasisitiza kuwa hakuna ajuaye kitakachotokea baadaye. "Hakuna awazaye kumwambia kinachokuja."
|
||
|
|
||
|
# Ni nani ajuaye baada yake?
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anauliza hili swali kusisitiza kuwa hakuna ajuaye kitakachotokea baadaye. "Hakuna ajuaye kitakachokuja baada yake."
|