forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
687 B
Markdown
20 lines
687 B
Markdown
|
# mwanamke yeyote ambaye moyo wake umejaa mitego na nyavu, na ambaye mikono yake ni minyororo
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anasema mwanamke mshawishi ni kama mitego ambayo mwindaji anatumia kushika wanyama.
|
||
|
|
||
|
# ambaye moyo wake umejaa mitego na nyavu
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "moyo" linamaanisha mawazo na hisia. Huyu ni mwanamke ambaye anajali ya kwake tu. "anayetaka kumtega mtu"
|
||
|
|
||
|
# mitego na nyavu
|
||
|
|
||
|
Maneno haya mawili yote yanaonesha njia ambazo watu wanatega wanyama. Anaendelea kufikiria njia za kuwatega wanaume ili wampe vitu.
|
||
|
|
||
|
# mikono yake ni minyororo
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "mikono" inamaanisha nguvu au mamlaka ya kuongoza. "ambaye hakuna awazaye kutoroka"
|
||
|
|
||
|
# mwenye dhambi atachukuliwa naye
|
||
|
|
||
|
"atamkamata mwenye dhambi"
|