forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
456 B
Markdown
24 lines
456 B
Markdown
|
# masikini akiteswa na kunyang'anywa
|
||
|
|
||
|
"watu kuwatesa watu masikini na kuwaibia"
|
||
|
|
||
|
# haki na kutendewa vibaya
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha aina ya matendo ambayo watu wanastahili. "kutendwa sawa."
|
||
|
|
||
|
# usishangae
|
||
|
|
||
|
"usishtuke"
|
||
|
|
||
|
# kuna watu katika mamlaka
|
||
|
|
||
|
"kuna watu wenye mamlaka"
|
||
|
|
||
|
# hata walio juu yao
|
||
|
|
||
|
Kuna wanaume wengine wana utawala juu ya wanaume walio kwenye madaraka. "wanaume walio na mamlaka zaidi yao"
|
||
|
|
||
|
# uzalishaji wa ardhi
|
||
|
|
||
|
"chakula ambacho ardhi inazalisha"
|