forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
429 B
Markdown
20 lines
429 B
Markdown
|
# hekima yangu ilikuwa ndani yangu
|
||
|
|
||
|
"nikaendelea kutenda matendo kwa hekima" au "nikaendelea kuwa na hekima"
|
||
|
|
||
|
# Lolote ambalo macho yangu yalikitamani
|
||
|
|
||
|
"Chochote nilichoona na kutamani"
|
||
|
|
||
|
# sikuyazuia
|
||
|
|
||
|
Hii naweza kuweka katika hali chanya. "nilijipatia"
|
||
|
|
||
|
# Sikuuzuia moyo wangu katika furaha yeyote
|
||
|
|
||
|
Hii naweza kuweka katika hali chanya. "Nilijiruhusu kufurahia kila kitu kilichonipa furaha"
|
||
|
|
||
|
# moyo wangu ulifurahi
|
||
|
|
||
|
"Nilifurahi"
|