forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
612 B
Markdown
24 lines
612 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Musa anaendelea kubariki kabila za Israeli, ambapo alianza kufanya katika 33:1; Musa anazungumza baraka kwa njia ya shairi fupi.
|
||
|
|
||
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Mistari hii ni migumu kuelewa.
|
||
|
|
||
|
# watu
|
||
|
|
||
|
"watu wa Israeli"
|
||
|
|
||
|
# watakatifu wake wote wapo mikononi mwako ... mguuni mwako ... maneno yako
|
||
|
|
||
|
Viwakilishi nomino "mwako" na "yako" ina maana ya Yahwe. "watakatifu wa Yahwe wote wapo mikononi mwake .. miguuni mwake ... maneno yake"
|
||
|
|
||
|
# watakatifu wake wote wapo mikononi mwako
|
||
|
|
||
|
Mkononi ni lugha nyingine ya nguvu na ulinzi. "unalinda watakatifu wake wote"
|
||
|
|
||
|
# urithi
|
||
|
|
||
|
"miliki" au "miliki ya thamani"
|