forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
493 B
Markdown
12 lines
493 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli. Anaendelea kutoa nukuu maneno ya Yahwe.
|
||
|
|
||
|
# Laiti wangekuwa na hekima, wangeelewa hili, na kuzingatia ujio wa hatima yao
|
||
|
|
||
|
Musa anasema jambo ambalo anatamani lilikuwa kweli, lakini anajua ya kwamba hawana hekima na hawaelewi ya kuwa kutokutii kwao kutasababisha Yahwe kuleta maafa haya juu yao.
|
||
|
|
||
|
# ujio wa hatima yao
|
||
|
|
||
|
Nomino inayojitegemea ya"hatima" inaweza kutafsiriwa kama kitenzi. "kile kinachokwenda kutokea kwao"
|