forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
879 B
Markdown
32 lines
879 B
Markdown
|
# Habari ya jumla
|
||
|
|
||
|
Musa anazungumza kwa Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa yako kwenye umoja.
|
||
|
|
||
|
# Ataleta juu yako mara nyingine magonjwa yote ya Misri
|
||
|
|
||
|
"Atahakikisha kuwa tena unateseka kwa magonjwa ya Misri"
|
||
|
|
||
|
# yatakung'ang'ania
|
||
|
|
||
|
magonjwa hayataacha, na hakuna mmoja ataweza kukuponya kwayo"
|
||
|
|
||
|
# kila ugonjwa na pigo ambalo halijaandikwa
|
||
|
|
||
|
Huku kupigwa chuku kunaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "hata magonjwa na mapigo ambayo sijaandika"
|
||
|
|
||
|
# hadi umeangamizwa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "hadi amewaangamiza"
|
||
|
|
||
|
# Utabaki wachache kwa idadi... mlikuwa kama...hamkusikiliza
|
||
|
|
||
|
Musa anazungumza kwa Waisraeli kama kundi hivyo mifano yote ya "wewe" ni uwingi.
|
||
|
|
||
|
# ulikuwa kama nyota wa mbinguni kwa idadi
|
||
|
|
||
|
Hii ina maanisha kwamba zamani kulikuwa na Waisraeli wengi.
|
||
|
|
||
|
# sauti ya Yahwe
|
||
|
|
||
|
Hapa maneno "sauti ya Yahwe" urejea kwa kile Yahwe asemavyo.
|