sw_tn/deu/28/49.md

24 lines
732 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Habari ya jumla
Musa anazungumza kwa Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa yapo kwenye umoja.
# kutoka mwisho wa ulimwengu
Haya makundi ya maneno umaanisha kitu kile kile na kusisitiza kwamba adui atatokea taifa ambalo liko mbali sana na Israeli.
# kutoka mwisho wa ulimwengu
Hii ni nahau. "kutoka maeneo ambayo haujui kitu chochote kuhusu"
# kama tai arukaye kwa mhanga wake
Hii umaanisha adui atakuja kwa ghafla na Waisraeli hawataweza kuwazuia.
# taifa lenye sura katili ambayo haiheshimu wazee na haionyeshi fadhila
Neno "taifa" ni mfano wa neno kwa ajili ya watu wa taifa hilo.
# hadi mmeangamizwa
Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "hadi waangamize" au " hadi wawaache bila kitu"