forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
391 B
Markdown
12 lines
391 B
Markdown
|
# Habari ya jumla
|
||
|
|
||
|
Musa anazungumza kwa Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa yako kwenye umoja.
|
||
|
|
||
|
# atainuka juu zaidi yako juu na juu; wewe mwenyewe utashuka chini na chini.
|
||
|
|
||
|
Hii ni nahau inayomaanisha mgeni atakuwa zaidi na nguvu, pesa, na heshima kuliko Waisraeli.
|
||
|
|
||
|
# atakuwa kichwa, nawe utakuwa mkia
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha mgeni atakuwa kiongozi wa Waisraeli.
|